
Mshambuliaji huyu wa Ujerumani tayari ameshaanza mbio kuelekea kwenye mstari wa mwisho wa mfungaji bora wa michuano, baada ya kupiga mabao matatu (hat trick), na kuendelea kuinyanyasa Ureno na Ronaldo wao muda wote wa mchezo.
Hakika michuano hii ya Kombe la Dunia huko Brazil imekuwa ni ya kuvutia hadi sasa. Na mechi ya Ujerumani na Ureno ilisemwa kuwa mtanange wa mwaka. Na Ilikuwa hivyo kwa Ujerumani kuondoka na ushindi wa mabao 4-0
Sign up here with your email
ConversionConversion EmoticonEmoticon