a

BEYONCE NA JAYZ WAINGIA MITINI NDOA YA KANYE NA KIM

Kanye West na Kim Kardashian wakifunga ndoa.
Kanye West na Kim Kardashian wakifunga ndoa.
Eneo walilofungia ndoa mastaa hao.
Eneo walilofungia ndoa mastaa hao.
Mastaa walioingia mitini Jay Z na mkewe Beyonce.
Mastaa walioingia mitini Jay Z na mkewe Beyonce.
Fort Belvedere walipofungia ndoa mastaa Kim na Kanye.
Fort Belvedere walipofungia ndoa mastaa Kim na Kanye.
Kanye na Kim wakati wa maandalizi ya harusi ya
Kanye na Kim wakati wa maandalizi ya harusi ya0
Mastaa Jay Z na mkewe Beyonce ambao ni marafiki wa karibu wa Kanye West hawakuhudhuria harusi ya kifahari ya staa huyo aliyemuoa Kim Kardashian jana kwenye ukumbi wa Fort Belvedere nchini Italia. Mbali na mastaa hao, pia kaka wa bibi harusi Kim, Rob naye aliingia mitini.
Previous
Next Post »