a

Sikiliza Mume Wa Flora Mbasha Akikubali Kubaka Na Kuomba Msamaha Kwa Shemeji Yake. Sikiliza Hapa


Clip hiyo Hapo chini ya Audio Kwa sasa inazunguka Mitandaoni inasemekana ni Mume wa Flora Akiongea na Shemeji yake Ambaye Inadaiwa Kambaka hatuna huhakika nayo ila na wewe sikiliza:

"Tunaomba usikilize hii audio Mume wa Flora Mbasha akiomba msamaha na akifichua mambo magumu mazito yanyoendelea ndani ya famili hiyo ambayo imezua gumzo mtaani kwa kile kinachofikiriwa kua imepoteza uaminifu kutokana na jamii inavyoichukulia ,kua ni familia yenye hofu kubwa ya Mungu,lakini jamii imesahau kua hawa ni binadamu 100% kuna kuanguka Tunaomba maoni yako unasemaje juu ya hili"
Previous
Next Post »