Maria aliigharimu United takriban pauni milioni 59.7 alipotua Old Trafford.
Sasa Guardiola akizungumza na wanahabari alisema kuwa hana hofu ya kuwapoteza wachezaji wake kwenda Old Trafford. "hawana pesa .
'Samahani hawana hela hawa,'' kocha huyo alinukuliwa akisema .
''Niliwaona wakitumia pesa nyingi tu lakini unajua hawa wachezaji wnyewe wameamua kusalia hapa tu ''
Guardiola, aliwahi hudumu chini ya Louis van Gaal' alipokuwa Barcelona kabla ya wawili hao kutengana Pep alipoondoka kuchukua wadhfa wake mpya kama kocha.
Sign up here with your email
ConversionConversion EmoticonEmoticon