a

Sababu Sita Kwanini Hutakiwi Kuacha Kujichua ikiwa Bado Hujaoa


Watu wengi Walio jaa uzandiki wamekuwa wakijitokea na kubeza kuwa kujichua kuna madhara,hii si kweli bali ni milengo ya kihafidhina ambayo inataka kuendekeza ukaha na umalaya kwa vijana wanaobarehe,kujichua kumekuwepo tangu enzi ,hivyo mtu hapaswi kupinga tendo hili ambalo ni takatifu na sio haramu~

Faida za mtu (Mme&Mke) kujichua

1.Humfanya mtu kuwa salama hivyo kuepuka hatari ya kuambukizwa magonjwa ya ngono kama vile UKIMWI
2.Haina gharama,huhitaji pesa za kupoteza kumuhonga mwanamke/mwanamme ili kupata burudani
3.Humfanya mme achelewe kufika kileleni wakati wa tendo la ndoa akiwa na mke wake
4.Hupunguza misongo ya mawazo kwa kukataliwa/pindi migongano ya kimapenzi inapotokea hivyo kumfanya mtu kuishi huru
5.Husaidia ubongo kuwaza na kutafakari vyema na kwa usahihi,mfano mtu anapotaka kujichua itambidi achukue picha/taswira(avute hisia) ya binti au mme anayemvutia ili kukidhi haja yake.kitendo hiki husaidia ubongo kuwa active.
6.Ongeza na wewe msomaji ..
 


source: udakuspecially
Previous
Next Post »